Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HABARI NZITO: HAIJAWAHI TOKEA DUNIANI KOTE LEO TANZANIA YAINGIA KATIKA HISTORIA MBOVU NA AIBU KUBWA MTATIRO AFUNGUKA MAZITO JUU YA HILI....

Tunatangaziwa kwa mbwembwe kuwa Taifa letu linaenda kujifunza Teknolojia kutoka Rwanda. So shameful! Taifa ambalo limeshiriki kupigania uhuru wa nchi karibia zote za Afrika. Taifa lenye mamia ya MAPROFESA na wataalamu wa Teknolojia za kila namna. Kwa hiyo hawa MAPROFESA wetu tunaowalipa mamilioni ya mishahara kwa mwezi, tena waliosomea teknolojia mbalimbali Uchina, Urusi, Marekani, Ujerumani, Uingereza na kwingineko (kwenye vyuo vinavyoheshimika duniani) ni Maprofesa UCHWARA! Tatizo la nchi hii ni kubwa hadi mkuu wetu hajua tutaanzia wapi. Kwa uwazi kabisa nasema hii ni AIBU KUU!
Mtatiro J

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top