Ni habari zinazotoka Dodoma asubuhi hii ya November 11 2016 zikihusu kifo cha Mbunge Hafidh Ali Tahir wa Jimbo la Dimani ‘CCM’ Zanzibar, ni kifo kilichotokea alfajiri ya leo katika Hospitali ya mkoa wa Dodoma.
millardayo.com & Ayo TV zinaendelea kufatilia taarifa zaidi kuhusu msiba huo. R.I.P Hafidh Ali Tahir
Post a Comment