Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

BREAKING NEWS:RAIS MSTAAFU KIKWETE ATENDA MIUJIZA HII NDIO SIRI NZITO MNO MAISHANI MWAKE.

Kikwete amekuwa kipenzi cha watu ghafla, kila anapoonekana hushangiliwa na kusifiwa, ilianza pale Msigwa alipotamka bungeni kuwa wamemmiss, ikaja alipoingia bungeni kumsindikiza mkewe, lakini pia hata juzi alipokuwa akiingia uwanjani katika sherehe za Muungano.

Marais wastaafu hatukuwahi kuona wakishangiliwa, si MKAPA, wala MWINYI hata Baba wa taifa sikumbuki kuona akiingia sehemu baada ya kustaafu na watu wakaanza tu kumshangilia bila sababu. Mara nyingi mzee Nyerere alishangiliwa hasa wakati wa speech zake tamu na zenye kugusa.

Swali linaloumiza kichwa, Je huyu Kikwete aliyelaumiwa kila kona wakati wa miaka yake ya URAIS ni kweli kwamba hatukutambua ubora wake wakati huo, au tunamshangilia ili tu kumuudhi na kumkomoa JPM ambaye amejipambanua kuhakikisha anarekebisha yale yaliyofanywa na kikwete?

Nimeshindwa kung'amua kimsingi hasa shangwe za wananchi kwa Kikwete, au wanamuinjoy tu, kama wasemavyo waswahili??

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top