Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HABARI NZITO: HII NI NOUMA SANA MBOWE NA SIRI NZITO MNO YA MAUWAJI YA ASKARI POLISI KIBITI.

Juzi Mh Mbowe katoa hoja ya bunge kujadili usalama wa wananchi kutokana na kushamiri kwa matukio ya kihalifu ya mauaji na utekaji.

Wabunge wa CCM wakiongozwa na Jenista Mhagama wakapinga na kusema Tanzania ni salama kuwa bunge lina mambo mengi ya kujadili. Hayajapita hata masaa 12 askali 8 wamevamiwa na kuuawa, bado kina Mhagama wanasema Tanzania ni Salama.

Nataka kuwaambia CCM kuwa endeleeni na dharau zenu, mnayoyataka soon mtayapata na siku yakiwakuta hakutakuwa na mtu wa kuwasemea wala kuwaonea huruma.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top