Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

INATIA HUZUNI KUBWA RAIS MAGUFULI AFUNGUKA SIRI ILIYOKUWA NZITO MNO LEO HII.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt
Dar es Salaam. Rais John Magufuli leo ameshiriki ibada ya Pasaka katika kanisa la Mtakatifu Petro na kuwashukuru wakristo na waumini wa madhehebu mengine nchini kwa kuendelea kumuombea.
Pia Rais aliwaomba waumini hao waendelee na maombi hayo ili nchi iendelee kuwa na amani, umoja, mshikamano na watu wanaochapa kazi.
Taarifa iliyoletwa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ikulu leo inaeleza kuwa Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema baraka zilizoletwa na Yesu Kristo aliyefufuka ni kwa ajili ya watu wote wakristo na wasio wakristo na amemtakia heri Rais Magufuli ili matumaini ya baraka hizo ziwafikie Watanzania wote.
Kardinali Pengo amemuombea Rais ili kuwa imara katika changamoto na machungu anayokutana nayo katika uongozi.
“Yesu Kritso akuimarishe na akutie nguvu ili matumaini tunayoyadhimisha leo yawafikie Watanzania wote”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top