Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

Meneja Wa Diamond Platinums Afunguka Kuhusu Ali Kiba Kufanya Show Kwa Kushtukiza Jukwaa Moja Na Diamond Platinums Kenya

Meneja wa Diamond azungumzia Ali Kiba kufanya show kwa kushtukiza kwenye jukwaa moja na Diamond Kenya..

International Meneja wa Diamond Platnumz ‘Sallam Sk’ ameongea na Sammisago Kupitia ENews leo kuhusu Ali Kiba kufanya show kama msanii wa kushtukiza kwenye jukwa moja na Diamond Platnumz.

Sallam anasema “Sisi hatukuambiwa kama Ali Kiba atakuwepo kwenye show kwa hio Ali Kiba alikuwa kwenye show kama Suprise, nashukuru muziki wetu wa Tanzania unazidi kukua,

tulichofanya ni kitu mkataba wetu umesema tufanye , na tuliperform kwa saa mbili, hawakuandika Diamond is a Tanzanian artist, ila waliandika International Artist, kama alitangazwa Diamond pekee yake, akaje msanii mwingine pia hio ni sawa tu”

Hii ni hatua nyingine inayothihirisha kuwa ladba hakuna beef kati yao na kwamba wote wanakubalika kama wasanii wa kimataifa….

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top