Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HOT NEWS: KIMENUKA BUNGENI SPIKA NDUGAI, KAMBI YA UPINZANI WAKABANA MAKOO SHUHUDIA TUKIO HILI HAPA..

Bungeni
Spika wa Bunge, Job Ndugai amewakumbusha wabunge wa upinzani wanaotaka marais wastaafu washtakiwe kuhusu sakata la mchanga wa madini, wakumbuke wanao mawaziri wakuu wastaafu wawili ambao watahusika pia.

Ndugai amesema hayo leo (Jumanne) bungeni baada ya mchango wa Mbunge wa Kilombero, Peter Lijualikali kusema haiwezekani mawaziri na watendaji wengine wa Serikali wakafanikisha mikataba mibovu ya madini bila ridhaa ya Rais.

"Haiwezekani mzee wangu (Andrew) Chenge na (Nazir) Karamagi walipitisha mikataba hiyo bila Rais aliyekuwapo kufahamu. Kinga ya Rais kushtakiwa iondolewe ili wahojiwe," amesema Lijualikali.

Baada ya hoja hiyo ya Lijualikali inayofanana na ya Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche, Ndugai aliwakumbusha juu ya mawaziri wastaafu walionao kwenye chama chao.

"Mabadiliko mnayoyataka yakipitishwa na viongozi mlionao wakikamatwa msije mkalalamika tena," amesemaNdugai.

1 comments:

Play Online Slots | Casino, Games, Casino, Slots - DrmCAD
Discover the best online slots available for 통영 출장마사지 play on our site. 대구광역 출장샵 We've got 여수 출장샵 Vegas, Las 충청남도 출장샵 Vegas, and the best casino slots here at DrmCAD. Play 포천 출장샵 Online

Reply

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top