Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HABARI NZITO: PAUL MAKONDA NDIO BASI TENA ATUMA UJUMBE HUU MZITO KWA VIGOGO WOTE WA SERIKALI YA JPM.



Mkuu wa Mkoa Dar es salaam kupitia Account yake ya Instagram Ameandika Ujumbe unaotafsiriwa ni kama kuwajibu wakosowaji wote ambao wanabeza na kudharua kile anachokifanya.

Katika Ukarasa wake wa Instagram Paul Makonda Ameanza kwa kuandika "Usiogope Mbwa Mwitu, unapoanza kuchipuka katika wazo lako…. na ndio maana kuna wimbo wa mwimbaji anaitwa Ephraim kutoka Zambia naupenda sana“

Pia akaenda mbali zaidi na Kusema kuwa Mungu hajalala kama watu wanavodhani hii ikiwa na Maana kuwa kila akifanyacho yu Pamoja na Mungu na Mungu anamsimamlia kwa kile anachokifanya

“Wimbo unasema wewe ni Mungu usielala…………. Mungu wetu hajalala, mantiki ya Mungu kutokulala hachoki na kuna mahala nimekupa katika hii mistari anasema utataka jambo nawe litakua, imani utakayokua nayo itakusukuma kutaka jambo litakua“

“Mbwa Mwitu ni wale watu ambao wanabweka tu… unaanza jambo wanakubwekea kiasi kwamba wanakufanya mpaka unakata tamaa”

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top