Leo April 26, 2017 Tanzania inaadhimisha miaka 53 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar katika sherehe zinazofanyika mjini Dodoma ambapo viongozi mbalimbali wamekuwa wakitoa pongezi kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa kutimiza miaka hiyo.
Mmoja wa watu walioguswa na maadhimisho hayo ni Mbunge wa Mtama ambaye aliwahi kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM na Waziri wa zamani wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye akitumia account yake ya Instagram na kuandika: “CCM bado ni chama bora cha mfano kwa Afrika!!! Ni imara na kina historia ndefu, nzuri iliyotukuka sana!! Ndio waasisi wa Muungano wetu, TUUDUMISHE!!!!
#miaka53yamuunganowatanganyikanazanzibar.” – Nape Nnauye
#miaka53yamuunganowatanganyikanazanzibar.” – Nape Nnauye
Post a Comment