Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

KALI KULIKO KAULI YA ZITO BAADA YA MAUWAJI YA ASKARI KIBITI YAZUA GUMZO ZITO BUNGENI.



Baada ya vifo  vya Askari Polisi 8 waliouawa kwa kushambuliwa na watu wenye silaha tarehe 13 Aprili, 2017 katika eneo la Jaribu Mpakani, Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani.

Jana Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe  kupitia akaunti yake ya Twitter amesema haya juu ya Polisi 8 waliouawa

Mkuranga, Kibiti na Rufiji ( #MKIRU ) ni eneo ambalo lazima kazi kubwa ya ujasusi wa kiusalama ifanyike. @mwigulunchemba1 simamia hili haswa
Nimetazama magazeti makuu Leo, English and Swahili, naona uzito wa usalama wa eneo la #MKIRU unakuwa mdogo. Makosa makubwa @mwigulunchemba1

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top