Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HILI NDIO TATIZO SUGU KWA WANA WENGI WA SASA..

Tabia ya wasichana kuwaombaomba wanaume hela bila sababu imeondoa imani na heshima kwa wasichana.

Utakuta wasichana hao wana kazi, wana biashara ila kutwaa kuombaomba.

Hii tabia imefanya wanaume waone kuwa wasichana wote wanatabia hiyo hiyo.

Pia imesababisha hata kushindwa kuwapa hela wale wasioomba eti kwakuwa wanakuwa wanawapima tabia hiyo.

Enyi wasichana 'ombaomba' acheni tabia hiyo, mnashusha heshima za wasichana wote

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top