PAUL MAKONDA ametukosea sana hakupaswa kulazimisha kipindi kiruke hewani kitu ambacho si sawa kwa kipindi ambcho haikiuwa na balence yeyote Paul sisi ni rafiki yetu mkubwa sana tuna saidiana kwa mambo mengi ila kwa hili hawezi kufanya jambo la aibu mno na ni maumivu makubwa sana kwetu nikiwatazana vijna wa SHILAWADU naumia sana vijana wangu wako disapointed sana inafikia vijana sasa wanashindwa kabisa kufanya kazi na wanaomba likizo kwa kila jambo hili....
Post a Comment