Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HII NOUMA SANA KARDINALI PENGO AMUUMBUA VIBAYA GWAJIMA ABAKI MDOMO WAZI


Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta   kesi ya kutoa lugha chafu inayomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima.

Hakimu Mfawidhi, Cyprian Mkeha aliifuta kesi hiyo leo chini ya kifungu cha 225 cha sheria ya Mwenendo wa Makosa ya  jinai (CPA).

Kesi hiyo imefutwa baada ya Wakili wa Serikali, Joseph Maugo kueleza kuwa hawakuwa na shaidi na kuomba wapewe ahirisho.

Katika uendeshwaji wa kesi hiyo upande wa mashtaka uliita ushahidi mmoja kwa miezi 14.

Katika kesi hii, Gwajima anadaiwa kuwa  kati ya Machi 16 na 25,2015 Tanganyika Packers Kawe alitumia lugha chafu na kumdhihaki  Muhadhama wa Kanisa Katoliki  Askofu Kardinal Polcarp Pengo.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top