Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

BREAKING NEWS:HAKUNA ALIEAMINI HILI HIV NDIVYO RAIS MAGUFULI ALIVYOINGIZWA CHAKA SAKATA LA VYETI..

Mhadhiri huyo maarufu na mkereketwa wa chama cha kijani ameyazungumza haya maneno akiwa anahojiwa na kipindi cha mizani ya week Azam two television .Aliongeza na kwenda mbali zaidi kwa kushauri kungekua na utaratibu mwingine wa kulishugulikia suala la kughushi vyeti aidha kwa kupewa muda wakutimiza sifa zinazohijika au vinginevyo na sio adhabu kali waliyopewa.

Akiwa anazungumza kwa mifano na masikitiko alinukuliwa kuwa kuna daktari mmoja anayemfahamu alisoma clinical officer kwa kughushi cheti cha form four lakini ni daktari mbobezi tu ameokoa na anatibu watu wengi tu ila yumo kwenye list ,tutafute njia au namna nyingine ya kuwapima watu ,mtu kama dereva unahitajia nini elimu ya form four?ikiwa kusoma na kuandika na kuzielewa alama za barabani anaweza"?alihoji

"Alienda mbali zaidi na kusema unaweza ukakuta hawa baadhi ya watumishi walioghushi kwenye appraisal za kila mwaka kwa mujibu wa taratibu za serikali walikua wanapata daraja la kwanza"
Hakusita kutoa la moyoni kuwa hakubaliani kuwa suala walilolifanya ni jinai ,pia alilaumu kwanini uhakiki uishie kwa watumishi wa kawaida tu bila wakuu wa wilaya ,mikoa,wabunge na madiwani

Hakusita pia kui kosoa report ya ukaguzi wa vyeti kwa kuuliza idadi ya watu 1500 ambao vyeti vyao vinafanana ,ufanano wake upo kwenye credits,majina au shule na vyuo?hii report haijakaa sawa alikazia"

Mwisho kabisa aliishauri serikali ifanyie reform utumishi wa umma

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top