Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

SAD NEWS: INASIKITISHA MNO UNDANI WA AJALI MBAYA YA WANAFUNZI ILIYOTOKEA HIVI PUNDE '''BONDENI KARATU'''


Basi aina ya Toyota Coaster lililobeba wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent ya Arusha limetumbukia bondeni Karatu. 
Zaidi ya watoto 20 na waalimu wanahofiwa kufa. 
Walikuwa wakienda tour kwenye hifadhi ya Ngorongoro. 
Ni ajali kubwa na mbaya kuwahi kutokea tangu ya miaka 7 iliyopita. 
Pole sana kwa ndugu, jamaa na marafiki waliopoteza watu wao katika ajali hii mbaya, Mungu azilaze roho za marehemu peponi

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top