Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

MSANII MADEE NA MKE WA ROMA NDIO BASI TENA WAFANYA MAZITO UKO...

Mke wa msanii Roma Mkatoliki Nancy Mshana ameonesha kukerwa kwa kitendo cha msanii Madee kutoa kauli iliyojaa udhalilishaji kwa kusema Roma apone na aache kujilegeza.

Hayo yameibuka baada ya Nancy ku-post picha ya pamoja yeye na Roma katika mtandao wa kijamii wa instagram na kuandika maneno yenye kumtia faraja mume wake kwa kusema 'Be a friend encourage someone take time to care. Let your words heal and not wound'

"Apone basi na yeye asijilegeze kha! wanaume wa tanga bana" Ali-comment Madee

Akajibu Nancy...."Nimewaona marafiki na baadhi ya wasanii wakija kumuona, nilitegemea wewe ungekuwa wa kwanza kuja kumuona rafiki yako, ndugu yako, mtani wako lakini huu ni mwezi umekatika sijaona hata ukimpigia simu ! wala kuja kumjulia hali, hakika nimejifunza mengi sana kipindi hiki, ubarikiwe sana shemeji yangu Hamad, msalimie mtoto wetu Saida".

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top