Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

BREAKING NEWS : RAIS MAGUFULI ATUMBUA JIPU KUBWA LA TCAA MWENYEWE,VIGOGO HAWA WATIMULIWA AKIWEMO MKURUGENZI NA WENGINE KUHAMISHWA KWA UFISADI


Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) amesimamishwa kazi huku Mhasibu Mkuu na Meneja Manunuzi wa taasisi hiyo wakihamishwa kwa tuhuma za kushindwa  kusimamia ukusanyaji wa mapato katika taasisi hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu mabadiliko Bandarini, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (pichani) alisema serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuhakikisha inasimamia mapato ya serikali na taasisi zinafanya kazi kwa ufanisi mkubwa.

>>>>BOFYA HAPA KUPATA HABARI KAMILI>>>>

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top