Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

LEMA ANDIKA WARAKA MZITO KUTOKA MAHABUSU SERIKALI YATAHAMAKI KILICHOPO KWENYE WARAHA HUU MZITO.

Kuna Godbless Lema mmoja tu hapa Tanzania kwa Africa Mashariki unaweza kumfananisha na Kizza Besigye ambaye police hawakatiki nyumbani kwake.

Hawa ni wanasiasa ambao wameamua kufanya siasa ngumu zisizo wapendeza watawala.
Ni watu ambao kusikia kukamatwa na police kwao siyo story tena Bali inaweza kuwa story siku watakapo amua kukaa kimya, Ila kusikia wapo Central police, Wanapandishwa kizimbani,Wapo Magereza hilo siyo jambo geni wala halitakuwa geni Bali tutastuka na kushangaa pindi watakapo kaa kimya tutakuwa na maswali mengi ya kujiuliza.

Ujasiri wao wa kufanya siasa ngumu za level hiyo unawabakisha kuwa Wanasiasa bora wa upinzani wakati wote wenye ushawishi Mkubwa wakati wote.

Ushawishi wao hupelekea Mara kwa Mara kwa wafuasi wao kupata shida Mara nyingi kila waenda mahakamani hukutana na vigingi vingi vingi Mara kukamatwa Mara kufukuzwa ili mradi wasionekane wapo wengi mahakamani kwenda kuwatia moyo.

Wataendelea kubaki kuwa Wanasiasa wa saisa ngumu za kiafrika ambao wameamua kupambana na changamoto hizo wazi wazi bila kuwa na chembe ya uoga....

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top