Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HABARI MBAYA: JIJI LA DAR LAVAMIWA NA WATU WASIOJULIKANA NA KUCHOMA WATU VISU KWENYE DALADALA

Mtu mmoja aliyekuwa abiria ndani ya daladala lililokuwa likitoka mjini kuelekea Makubusho amewashambulia kwa kisu abiria kadhaa ndani ya gari maeneo ya Magomeni na kuwasababishia majeraha makubwa, majeruhi wote wamekimbizwa Hospitali ya Mwananyamala, Mshambuliaji huyo ameuawa na wananchi wenye hasira kali. 
Majanga
Hadi sasa haijafahamika nini lililkuwa lengo la mshambuliaji huyo.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top