Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

NEWS : Lowassa amechaguliwa Rasmi UKAWA kuwania urais kupitia Chadema

Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa akiwa na fomu ya kugombea urais kupitia CHADEMA
Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa amechaguliwa kugombea urais kupitia CHADEMA
Mbunge wa Monduli na waziri mkuu wa zamani amechaguliwa kuwania urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa mujibu wa taarifa kutoka mkutano wa chama hiko kinachofanyika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Edward Lowassa ambaye alijiunga na Chadema (Ukawa) mapema wiki iliyopita akitokea Chama cha Mapinduzi (CCM) amechaguliwa kuwania kiti hiko katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25, 2015.
Lowassa ataambatana na mgombea mwenza Juma Duni Haji (mgombea mwenza) kupeperusha ya Chadema ikiwa na kauli mbiu “Safari ya Mabadiliko nje ya CCM”.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top