Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

PICHAZ: EWURA YALETA MAFURIKO WATU WABEBA MAJABA NA MAPIPA BAADA YA KUTANGAZA BEI MPYA YA MAFUTA KWA MWEZI AGOSTI2015

mafuta 2EWURA imetangaza bei mpya za mafuta kwa Mwezi Agosti 2015.
Bei za jumla na rejareja kwa mafuta ya aina zote yaani Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa zimebadilika ikilinganishwa na toleo lililopita la tarehe 1 Julai 2015.
mafuta 4

Kwa Mwezi Agosti 2015, bei za rejareja kwa Dizeli na Mafuta ya Taa zimepungua kama ifuatavyo: TZS 18/lita sawa na asilimia 0.86 na TZS 29/Lita sawa na asilimia1.47 sawia, na kwa mafuta ya Petroli bei imeongezaka kwa TZS 92 /lita sawa na asilimia 4.19.
Vilevile kwa kulinganisha na toleo la mwezi uliopita, bei za jumla kwa mafuta ya Dizeli na Mafuta ya Taa nazo zimepungua kama ifuatavyo: TZS 17.50/lita sawa na asilimia 0.90 na TZS 29.27/lita sawa na asilimia 1.55 sawia na kwa mafuta ya Petroli bei imeongezeka kwa TZS 92.07/lita sawa na asilimia 4.40. Mabadiliko haya yametokana na mabadiliko ya bei za mafuta katika soko la dunia.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top