Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

PICHAZ: Mchungaji Mtikila ABEA FOMU YA KUWANIA URAIS 2015 NA KUFANYA MAAJABU MAKUBWA OFISINI HAPO

Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.06 PM
.
Nimepata nafasi ya kuona namna ambavyo wanachama wa DP (Democratic Party) wakimsindikiza mgombea wao wa Urais kwa mwaka 2015 Mchungaji Christopher Mtikila pamoja na mgombea mwenza Juma Mathew Juma kuchukua fomu ya uteuzi kugombea Urais katika ofisi za Tume ya Taifa ya uchaguzi.
Tayari kwenye post iliyopita tulikua na picha za Mgombea Urais Lyimo wa chama cha TLP aliechukua fomu mapema leo ambapo kila mmoja baada ya kuchukua amekua na kauli kwa vyombo vya habari, moja ya kauli za Mchungaji Mtikila ni hii hapa chini.
Mimi ndio mwanzilishi wa UKAWA toka mwaka 1986′
Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.11 PM
Mchungaji Mtikila akiweka Sahihi tayari kwa kuchukua fomu ya uteuzi wa Uras mwaka 2015
Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.17 PM
Mgombea mwenza Bw. Juma Mathew Juma naye aliweka Sahihi yake
Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.26 PM
Kabla ya makabidhiano kukawa na maelekezo ya uchukuaji wa fomu Bw George Kashura akitoa maelekezo hayo kwa wagombea
Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.34 PM
Mchungaji Mtikila akitoka nje ya ofisi ya Tume baada ya kukabidhiwa fomu
Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.43 PM
Screen Shot 2015-08-01 at 3.15.54 PM
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya uchaguzi Kailima Ramadhani Kombwey akijibu maswali ya Mchungaji Mtikila
Screen Shot 2015-08-01 at 3.16.00 PM
Screen Shot 2015-08-01 at 3.16.07 PM
Screen Shot 2015-08-01 at 3.16.13 PM
Mchungaji Mtikila mbele ya waandishi wa habari
Screen Shot 2015-08-01 at 3.16.20 PM
Safari ya kuondoka ikafika hapa Mchungaji Mtikila akiingia kwenye usafiri wake tayari kwa kuondoka

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top