Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

PICHAZ: Stamina awapagawisha wakazi wa Morogoro

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Stamina akiwaburudisha mashabiki wake ambao ni wakazi wa Morogoro kwenye tamasha lililoandaliwa na  Vodacom Tanzania kwa ajili ya kutoa elimu ya huduma ya M-Pawa kupitia kampeni yake ya  M-Pawa Tumekufikia’ yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima  kuhusiana na manufaa ya huduma hiyo inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi. Tamasha hilo lilifanyika katika viwanja vya soko la mawenzi mkoani morogoro jana.
Mtoto Salumu Mussa(15) ambaye ni mkazi wa Morogoro akiimba wimbo wa  Stamina jukwaani kwa ujasiri kwenye  tamasha lililoandaliwa na  Vodacom Tanzania kwa ajili ya kutoa elimu ya huduma ya M-Pawa kupitia kampeni yake ya  M-Pawa Tumekufikia’ yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima  kuhusiana na manufaa ya huduma hiyo inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi. Tamasha hilo lilifanyika katika viwanja vya soko la mawenzi mkoani morogoro jana.
 Baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Morogoro wakiwa wamefurika kwenye tamasha lililoandaliwa na  Vodacom Tanzania kwa ajili ya kutoa elimu ya huduma ya M-Pawa kupitia kampeni yake ya M-Pawa Tumekufikia’ yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima  kuhusiana na manufaa ya huduma hiyo inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi. Tamasha hilo lilifanyika katika viwanja vya soko la mawenzi mkoani morogoro jana.
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Stamina,amewapagawisha mashabiki wake wa mkoa wa Morogoro waliofika kushuhudia tamasha la”M-Pawa tumekufikia” lililoandaliwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya kutoa elimu ya huduma ya m pawa kupitia kampeni ya” M-Pawa tumekufikia” yenye lengo la kuwaelimisha wateja wake nchi nzima  kuhusiana na manufaa ya huduma hiyo inayowawezesha kujiwekea akiba na kujipatia mikopo nafuu kwa urahisi zaidi. Tamasha hilo lilifanyika katika viwanja vya soko la mawenzi mkoani morogoro jana.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top