Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

PICHAZ:..MH. KAFULILA AFANYA TUKIO LA AJABU NA LAKIPEKEE MKUTANONI BAADA YA KUCHUKUA FOMU YA UBUNGE..SHUHUDIA MWENYEWE

 
Mhe Kafulila akihutubia maelfu ya wakazi wa Nguruka mara baada ya kupokea fomu ya kugombea ubunge katika jimbo lake.aliyokabidhiwa na wazee wa jimbo hilo 
 
Mhe David Kafulila ikiingia katika viwanja vya shule ya msingi Nguruka kwaajili ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge kwa awamu ya pili jimboni kwake. 
 
Mhe Kafulila akiwaaga wananchi wa Nguruka baada ya kumaliza mkutano wake wa hadhara. 
 
Baadhi ya wananchi wa Nguruka waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Mhe.David Kafulila na kushuhudia akikabidhiwa fomu ya ubunge

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top