Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

UKAWA KUMEPAMBA MOTO, YAFUATAYO YABAINIKA MARA TU BAADA MH: LOWASSA KURUDISHA FOMU YA URAIS, KAZI MBONA IPO MWAKA HUU...

Mwanasheria wa Chama Mh Mabere Marando akikagua fomu za mgombea urais Mh. Edward Lowassa mara baada tu ya kukabidhi kwa Makamu Mwenyekiti Bara Prof Abdalah Safari



Naibu Katibu Mkuu Zanznibar Mh Salum Mwalim akimkaribisha Edward Lowassa katika ofisi ya Makamu Mwenyekiti Bara Prof Abdalah Safari




Makamu Mwenyekiti akipokea fomu kutoka kwa Waziri Mkuu Mstaafu na aliiyekuwa mbunge wa Monduli kwa tikeki ya CCM Mh. Edward Lowassa




 Baadhi ya wabunge walioweza kufika katika tukio la kumshuhudia Edward Lowassa akirudisha fomu Makao Makuu

Ester Bulaya akiwa ukumbini kumshuhudia Edward Lowassa akirudisha fomu ya kugombea urais ndani ya chama 



Baadhi ya wananchi wakiwa na ujimbe kwenye mabango yao,ikiwa ni sehemu ya kufikisha ujimbe kwa wazo la kila mtu binafsi kwa kupata fursa ya kutoa mawazo yao kwa njia ya mabango



Suzan Lyimo Mbunge viti maalum CHADEMA akisalimiana na Mh Edward Lowassa mara baada ya kuwasili Makao Makuu kurudisha fomu ya kugombea urais kupitia CHADEMA

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top