Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

UKAWAI WAVURUGIKA RASMI: LIPUMBA AJIUZURU MWENYEKITI CUF KISA NI LOWASSA KUWA MGOMBEA

Lipumba anasema UKAWA ilianzishwa kwa lengo la kusimamia rasimu ya katiba mpya kutokana na maoni ya wananchi sasa wenzetu wamegeuza UKAWA kwa kuleta mtu ambaye alishiriki kupitisha katiba pendekezwa ambayo siyo maoni ya wananchi hivyo kiongozi atakayeshinda kupitia UKAWA hawezi kusimania maoni ya wananchi ya rasinu iliyopendekezwa na Warioba.
TAARIFA ZAIDI TUTAWATEA

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top