Katika hafla hiyo, wasanii watapata fursa ya kumuaga Rais Kikwete anayemaliza kipindi chake mwaka huu, kumshukuru kwa kushirikiana nao katika miaka yake 10 kama Rais kwa kukuza tasnia yao na pia kumkaribisha Mgombea urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli.
Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977


Post a Comment