Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

LOWASSA AMEITKISA SINGIDA LEO,ANGALIA PICHA HIZI KWANI NI HATARI TUPU

 

MGOMBEA wa Urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Edward Lowassa ambaye anaungwa mkono na Vyama vinavyounda UKAWA Amezidi litikisa Taifa,
Baada ya leo Kuutikisa mkoa wa Singida na Viunga Vyake huku mkoa huo,shughuli zote zikiwa zimesimama ili kumpokea lowassa,kama ambayo unaona kwenye picha hizo,
Umati wa watu ukiwa umetanda barabarani wakimlaki Lowassa huku wakiimbi nyimbo kwa kusema “Rais Rais Rais”
Mkoa Singia ambayo kwa kiasi kikubwa ni ngome ya CCM ambapo ndio unamtoa Naibu Waziri wa Fedha,Mwigulu Nchembe,Waziri wa Maliasili na Utalii Nyalandu

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top