Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

BREAKING NEWS:.JESHI LA POLISI LAPATA PIGO KUBWA MUDA HUU HUKO DODOMA..ADC WA AFANDE IGP INSP.GERNALD RYOBA APOTEZA MAISHA NA FAMILIA YAKE KWENYE AJALI NA KUSOMBWA NA MAJI, MKE NA MTOTO WAMETAKANA ILA ISP. RYOBA BADO, WATANZANI MNAOMBWA MTULIE KWA TUKIO HILI

TANZIA POLISI: Huko Dodoma hali siyo shwari. ADC wa afande IGP Insp. G. RYOBA akiwa safarini na mkewe kuelekea Dar. gari yao ilisombwa na maji na mpaka sasa imepatikana miili ya mkewe na mtoto lakini mwili wa Insp. RYOBA mpaka sasa bado haujapatikana. Timu ya wapelelezi imekwenda eneo la tukio huko Kibaigwa kwa hatua zaidi. Naomba tutulie na kusubiri mamlaka husika hapa mkoani zitakapotoa taarifa hizi.



As Received but confirmed


Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top