Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

BREAKING NEWS:..MAREKANI YAPATA MSHITUKO RAIS OBAMA AANGUA KILIO MPAKA MACHOZI YAMTOKA HADHARANI AKIZUNGUZIA SILAHA

Rais Barack Obama alitokwa na machozi jana alipokuwa akitetea kufanyiwa mabadiliko kwa sheria za udhibiti wa silaha nchini Marekani.


ObamaImage copyrightAP
Image captionObama aliwaambia Wamarekani kwamba mageuzi anayotekeleza ni ya kuwafaa
ObamaImage copyrightReuters

Hii ni kutokana na ongezeko la watu kushambuliwa kwa risasi nchini humo.


ObamaImage copyrightReuters

Kiongozi huyo anayemaliza muhula wake wa pili mwaka huu alisema kwa sasa yeye hatafuti kura.
Obama anataka watu wote wanaouza silaha washurutishwe kuwa wakipekua na kuchunguza historia ya watu wanaowauzia silaha.
Kwa sasa, takwa hilo hugusa tu wauzaji silaha waliosajiliwa.


Image copyrightGetty

Wale hawajasajiliwa, hutakiwa kuwauliza tu wanunuzi watarajiwa iwapo wamewahi kupatikana na makosa ya uhalifu au kama wana matatizo ya kiakili.


Image copyrightAP

Hatua hiyo ya Rais Obama imepingwa vikali na baadhi ya viongozi wakuu wa chama cha Republican wanaosema inaingilia uhuru wa kikatiba wa Wamarekani.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top