Waziri wa Elimu, Prof. Ndalichako ameliagiza Baraza la Mitihani la Taifa Kufuta Mfumo wa GPA katika upangaji wa madaraja ya ufaulu na kuurudisha mfumo wa Division uliokuwa unatumika awali.
Amesema kuwa amefikia maamuzi hayo baada ya NECTA kushindwa kuwasilisha sababu za kisayansi za kubadilisha mfumo kutoka Division kwenda GPA.


Post a Comment