Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

HIKI NDIYO CHANZO CHA KIJANA HUYU KUJIKATA ULIMI

KATIKA hali isiyo ya kawaida raia mmoja wa India alijikata ulimi wake ili kukidhi matakwa ya kuonana na Mungu wa imani yake.

Tukio hilo lilitokea hivi karibuni lilipelekea raia huyo kutokwa na damu nyingi ambazo zilimfanya awaishwe hospitalini kwa ajili ya kuongezewa damu

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top