Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

VIDEO HII YA JANA BUNGENI BAADA YA KUTUMBULIWA KWA JIPU ZITO YAZUA MZOZO MKUBWA, WANASIASA WAGEUKANA KWA KILICHOTOKEA JANA

 
Feb 4 2016 Mbunge wa viti maalum  CHADEMA Jimbo la Iramba Magharibi Jesca Kishoa ameingia kwenye headlinebaada ya kusimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge vilivyo salia baada ya kukataa kufuta kauli yake ya kumtuhumuWaziri wa Katiba na Sheria Dk. Harrison Mwakyembe. Full stori ipo kwenye hii sauti hapa chini.


Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top