Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

Wabunge wa Kambi ya Upinzani Watoka nje ya BUNGENI Wakiwa Wamevalia Mavazi Meusi na Mabango



BUNGENI: Wabunge wa Kambi ya Upinzani watoka nje leo wakiwa wamevalia mavazi meusi na mabango.

Wanaendeleza mgomo wao dhidi ya Naibu Spika jinsi anavyoendesha Bunge, wadai anakiuna kanuni za uendeshaji Bunge.

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top