Loading...
http://go.ad2up.com/afu.php?id=778977

VIDEO:..HUKUKUMU YA WALIOHUSIKA NA KUTOROSHA MAKONTENA BANDARINI HII HAPA

Utoroshwaji wa Makontena uliofanyika katika Bandari Kavu kisha kugunduliwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa mara ya kwanza alipotembelea Bandarini na baadae RaisMagufuli Kuwataka walewote waliotorosha Makontena hayo walipe  kodi .
Kampuni ya Yono Auction Mart ndiyo imepewa dhamana na Mamlaka ya mapato nchini (TRA) Kukusanya kodi hizo kwa wote waliotorosha makontona  bandari kavu. Nakukutanisha na Mkurugenzi Mkuu akieleza hatua zilizopangwa kuchukuliwa.



Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright JAMIIYETU | Designed By BAKI NASI
Back To Top